Kwa majina naitwa Mr. Makemba ni mtaalam wa ufugaji Samaki mwenye shahada ya sayansi ya akua na teknolojia ya uvuvi(Bsc in Aquatic sciences and fisheries technology)
Huduma nazotoa ni pamoja na
1. Ujenzi wa bwawa za Samaki
2. Ujenzi wa tangi za kuhamishika Kwa ufugaji Samaki
3. Kumtembelea mkulima na Kutoka ushauri wa kitaalam juu ya Ufugaji Samaki
4. Kuandika maandiko ya mchanganuo wa gharama za mradi wa ufugaji Samaki
5. Uuzaji wa kitabu cha ufugaji Samaki
6. Uuzaji wa fomula na mwongozo wa utengenezaji wa chakula cha samaki
7. Kuwatafutia wakulima masoko ya samaki
Kwa mawasiliano wasiliana na Mtaalam wa ufugaji Samaki Kwa namba zifuatazo
+255745026287
+255678940570
DSM-TZ.