Mr Stephen Kalonga Ni Mtaalumu Wa Masuala Ya Afya,Tiba Na Kinga Kwa Maradhi Ya Mwanadamu
Haitoshi Kusema Kuwa Nia Mjasiriamali Kwa hiyo Anajishighulisha Pia Na UUZAJI wa Viatu Kwa Wanaume
Hasa Hasa Wanaume Smart ,MAHARUSI,Wanafunzi
WABUNGE na Waheshimiwa Wengine
Mzigo wa BIDHAA unatoka ITALY, CHINA,UK Na THAILAND
BEI Sana Sana Ubadilika Kwa Vipindi Vya Gharama Tu Ya usafiri Kwa Karne
Share Na MAHARUSI kumpendezesha Zaidi.
Gonga Subscribe.